MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA MIAKA 55 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR UWANJA WA GOMBANI PEMBA.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa kutokana na juhudi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar za kuimarisha uchumi wake ukusanyaji wa mapato…
Soma Zaidi