Ikulu Blog

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikata utepoe kuashiria kuyafungua Madarasa Sita mapya ya skuli ya Msingi ya Sebleni Wilaya ya Mjini Unguja.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati)akikata utepe kama ishara ya Ufunguzi wa hoteli ya Marijani Resort &Spa.

Rais wa Zanaibar Dk.Hussein Ali Mwinyi amezunguymza na Mabalozi walioteuliwa hivi karibuni.

Ufunguzi wa Gati ya Mkokotoni Unguja.

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amehudhuria Maziko ya Mama Mzazi wa Makamu wa Rais Mstaaf Alhaj Dkt.Mohammed Gharib Bilal.