Ikulu Blog

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amezungumza na wahariri wa vyombo vya Habari na waandishi wa Habari Ikulu mjini Zanzibar 31-5-2022.

Mke wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi amejumuika na Wananchi wa Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja katika matembezi na Mazoezi ya viungo.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Mahmoud Mussa Wadi (kushoto kwa Rais).

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi amezungumza na Jumuiya ya Magoa Zanzibar Ikulu

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Wananchi katika sala ya Ijumaa Masjid Barwan Mlandege Unguja