Dk. Hussein Ali Mwinyi ametengua uteuzi wa Kamishna Mkuu wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Salum Yussuf Ali

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ametengua uteuzi wa Kamishna Mkuu wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Salum Yussuf Ali ili kupisha uchunguzi wa kina…

Read More

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar imekuwa ni nchi ya kwanza Afrika kutumia teknolojia ya mashine ya kupimia UVIKO 19 (EDE Covid Scanners).

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa Zanzibar imekuwa ni nchi ya kwanza Afrika kutumia teknolojia ya mashine ya kupimia UVIKO 19 (EDE Covid…

Read More

Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi ameiomba Benki ya ‘AFREXIM Bank’ kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kupata mchanganuo wa masoko wa zao la Mwani.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi ameiomba Benki ya ‘AFREXIM Bank’ kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kupata mchanganuo…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka viongozi na wafanyakazi wa Shirika la Magazeti ya Serikali kuendelea kuwa wabunifu katika kuandika habari na hasa zile zinazogusa maisha ya kila siku ya wananchi.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka viongozi na wafanyakazi wa Shirika la Magazeti ya Serikali kuendelea kuwa wabunifu katika kuandika habari…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi ameeleza kwamba Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia Benki ya CRDB itawapatia wajasiriamali mikopo bila ya riba

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameeleza kwamba Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia Benki ya CRDB itawapatia wajasiriamali mikopo bila ya riba…

Read More

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kuimarisha huduma zinazotolewa katika Hospitali Kuu ya Rufaa ya MnaziMmoja sambamba na kutekeleza malengo yaliyokuwepo ya kujenga hospitali ya Rufaa

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kuimarisha huduma zinazotolewa katika hospitali Kuu ya Rufaa ya MnaziMmoja sambamba na kutekeleza malengo yaliyokuwepo ya kujenga hospitali ya Rufaa…

Read More