Dk.Shein amemuapisha Jaji wa Mahkama Kuu Mhe. Adulhakim Ameir Issa kuwa Kaimu Jaji Mkuu wa Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein amewaapisha Jaji wa Mahkama Kuu Mhe. Adulhakim Ameir Issa kuwa Kaimu Jaji Mkuu wa Zanzibar
Read More