Dk.Shein amemuapisha Jaji wa Mahkama Kuu Mhe. Adulhakim Ameir Issa kuwa Kaimu Jaji Mkuu wa Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein amewaapisha Jaji wa Mahkama Kuu Mhe. Adulhakim Ameir Issa kuwa Kaimu Jaji Mkuu wa Zanzibar

Read More

Dk.Shein amewatumia salamu za pongezi viongozi wa nchi za (UAE),kwa kutumiza miaka 41 yaTaifa hilo

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amewatumia salamu za pongezi viongozi wa nchi za Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), kwa kutimiza miaka 41 ya Taifa hilo.

Read More

Wafanyabiashara naWenyeviwanda nchini Vietnam wametakiwa kushirikiana naZanzibar katika sekta husika

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein ametoa wito kwa Jumuiya ya Wafanyabiashara na Wenyeviwanda nchini Vietnam kushirikiana na Zanzibar katika sekta…

Read More

Dk.Shein ametembelea Taasisi ya Utafiti wa Ufugaji wa Samaki mjini Hanoi,

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein ametembelea Taasisi ya Utafiti wa Ufugaji wa Samaki mjini Hanoi, Vietnam na kueleza kuwa Serikali ya Mapinduzi…

Read More

Zanzibar na Vietinam zimetakiwa kuanzisha uhusiano na ushirikiano katika sekta ya afya

MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein ameeleza haja ya kuanzishwa uhusiano na ushirikiano kati ya sekta ya afya ya Zanzibar na hospitali ya Taifa ya Watoto ya Vietnam katika maeneo ya…

Read More

Dk.Shein amefanya mazungumzo na Rais wa Vietnam Mhe.  Truong Tan Sang

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein amefanya mazungumzo na Rais wa Vietnam Mhe. Truong Tan Sang ambapo kiongozi huyo wa Vietnam alieleza kuwa ziara…

Read More

Zanzibar na Vietnam zimekubaliana kuimarisha uhusiano na ushirikiano wa kukuza sekta za maendeleo.

ZANZIBAR na Vietnam zimekubaliana kuimarisha uhusiano na ushirikiano katika kukuza sekta za maendeleo na uchumi huku Vietnam ikiahidi kuiunga mkono Zanzibar katika kuhakikisha inafikia malengo…

Read More

Dk.Ali Mohamed Shein ameondoka nchini kuelekea nchini Vietnam kwa ziara ya Kiserikali

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein ameondoka nchini kuelekea nchini Vietnam kwa ziara ya Kiserikali kufuatia mualiko rasmi wa Kiongozi wa nchi hiyo.Katika…

Read More