News and Events

Serikali inakusudia kutoa Kibali cha Ajira Mpya katika Mwaka Mpya wa Fedha katika sekta ya Afya na Kada nyengine ili kukabiliana na Tatizo la Uhaba wa Wauguzi hapa Nchini.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali inakusudia kutoa Kibali cha Ajira Mpya katika Mwaka Mpya wa Fedha katika sekta ya Afya na Kada nyengine…

Read More

Serikali itachukua hatua kuhakikisha watu waliolipwa fidia zisizostahiki katika maeneo yaliyopitishwa miradi ya maendeleo wanazirejesha fedha hizo Serikalini.

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itachukua hatua kuhakikisha watu waliolipwa fidia zisizostahiki…

Read More

Dkt.Mwinyi amesema CCM ipo tayari kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar.

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema mazungumzo ya kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa kati ya CCM na…

Read More

Hotuba ya Waziri wa Nchi Afisi ya Rais - Ikulu   Mheshimiwa Dkt. Saada Mkuya Salum (MBM) kuhusu makadirio ya mapato na matumizi   kwa mwaka wa Fedha 2026/2027.

YALIYOMO ORODHA YA VIAMBATANISHO .......................................................iv VIFUPISHO VYA MANENO ................................................................vi UTANGULIZI .........................................................................................1…

Read More