SALAMU ZA PONGEZI.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amewatumia salamu za pongezi Rais wa Rwanda Paul Kagame na Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza kwa kutimiza miaka 57…

Read More

MAADHIMISHO YA SIKU YA UTUMISHI WA UMMA ZANZIBAR.

UONGOZI wa Ofisi ya Rais na Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa kushirikiana na Chuo cha Utawala wa Umma (IPA) umetakiwa kuandaa programu maalum ya mafunzo ya muda mfupi kwa ajili ya Viongozi,…

Read More
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Ali Mohamed Shein, akiwahutubia Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Nne wa Shirikisho la Vyama Vya Wafanyakazi Zanzibar, uliofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar.

DK. SHEIN AMEFUNGUA MKUTANO MKUU WA NNE WA SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WAFANYAKAZI ZANZIBAR.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amesema Serikali inatambuwa kuwa kuwepo kwa vyama vya wafanyakazi nchini, kunaendana na sheria na Katiba ya Zanzibar…

Read More
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Mkurugenzi wa Idara ya Ujenzi na Utunzaji wa Barabara Zanzibar (UUB) Eng. Ali Tahir Fatawi, akitowa maelezo ya Vifaa vipya vya Ujenzi wa Barabara alipotembelea e

DK. SHEIN AMETEMBELEA VIFAA VIPYA VYA UJENZI WA BARABARA ZANZIBAR.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amewahakikishia wananchi kuwa ahadi zote zilizotolewa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar za kutengeneza barabara…

Read More
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akishiriki katika kisoma cha Hitma na dua kumuombea Marehemu Dr. Badria Abubakar Gurnah.

DK SHEIN AMEHUDHURIA HITMA YA DR. BADRIA ABUBAKAR GURNAL.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein ameongoza hitma ya kumuombea Dk. Badriya Abubakar Gurnal mke wa Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk. Abdalla…

Read More
Rais wa ZAnzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk Ali Mohamed Shein, akifungwa kiskafu na Vijana wa Skauti kushoto Halima Ali Makame na kulia Lutfia Juma Ali, baada ya kuwasili katika viwanja vya Mpira vya Maisara Suleiman Zanzibar kuhudhuria

DK. ALI MOHAMED SHEIN AMEHUDHURIA MAADHIMISHO YA MIAKA 107 YA SKAUTI.

WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Amali imetakiwa kuhakikisha kwamba katika mipango na taratibu wanazoziandaa ni vyema wakajipanga vizuri ili uwepo mfumo bora na endelevu wa uratibu na usimamizi…

Read More
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akimuapisha Mkuu wa Kikosi cha Valantia Zanzibar Major Said Ali Juma Shamuhuna, hafla hiyo imefanylia leo katika Ukumbi wa Ikulu Zanzibar.

RAIS WA ZANZIBAR AMEMUAPISHA MKUU WA KVZ ZANZIBAR MAJOR SAID ALI JUMA SHAMUHUNA.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amemuapisha Major Said Ali Juma Shamuhuna kuwa Mkuu wa Kikosi cha Valantia Zanzibar (KVZ).

Read More