Ikulu Blog

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania amejitambulisha kwa Rais Dk.Hussein Ali Mwinyi.

Rais wa Zanzibar ambae pia ni Msarifu wa Taasisi ya Benjamin Mkapa amehudhuria mkutano wa Kumbukizi ya hayati Benjamin William Mkapa Hoteli ya Golden Tulip Zanzibar.

Dk.Mwinyi amezungumza na Mabalozi wa Jumuiya ya Nchi zinazozungumza Kireno.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akilihutubia Baraza la Eid Al Hajj, lililofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni Mkoa wa Kaskazini Unguja

Rais wa Zanzibar Dk.Hussein Ali Mwinyi amefika nyumbani kwa mfanyakazi wake kutoa mkono wa pole.