Hotuba ya Rais wa Zanzibar na MBLM,Mhe:Dkt.Ali Mohamed Shein,kwenye Baraza la Idd el Hajj 26 Oct2012

Bismillah Rahman Rahim Shukrani zote anastahiki Mwenyezi Mungu Mtukufu, Subhanahu Wataala, Aliyetupa uhai na uzima tulionao tukaweza kuitikia wito wake, alioutoa tangu zama za Nabii Ibrahim (AS).…

Read More

Dk.Shein amewaapisha baadhi ya Watendaji Wakuu wa SMZ aliowateua hivi karibuni

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein amewaapisha baadhi ya Watendaji Wakuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar aliowateua hivi karibuni.Katika hafla…

Read More

Wananchi wa kijiji cha Chwaka wamepongeza kwa kufungua ukurasa mpya wa maelewano.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein amefanya mazungumzo na wananchi wa kijiji cha Chwaka na kuwapongeza kwa kufungua ukurasa mpya wa maelewano na kumaliza…

Read More

Rais wa Zanzibar na MBLM Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,amewaapisha viongozi na watendaji wa SMZ

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein leo amewaapisha viongozi na watendaji katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kufuatia uteuzi alioufanya hivi karibuni.

Read More

Dk.Shein amezindua ulazaji wa waya wa pili wa umeme kutoka Fumba Zanzibar hadi Ras Kiromoni DSM

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein amezindua ulazaji wa waya wa pili wa umeme kutoka Ras Fumba Zanzibar hadi Ras Kiromoni Dar-es-Salaam na kusema kuwa…

Read More

Watanzania hasa Wazanzibar wametakiwa kushiriki katika kujiandikisha ilikupata kitambulisho chaTaifa

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ametoa wito kwa Watanzania hasa Wazanzibari kushiriki kikamilifu katika zoezi la kujiandikisha kwa kupata kitambuilisho…

Read More

Rwanda imevutiwa na mafanikio yaliofikiwa na Serikali ya Zanzibar katika sekta ya utalii.

RWANDA imevutiwa na mafanikio yaliofikiwa na Zanzibar katika sekta ya utalii na kueleza kuwa iko tayari kupanua wigo katika sekta hiyo ikiwa ni pamoja na kukuza ushirikiano kwenye sekta nyengine…

Read More

Waya mpya wa umeme utakaolazwa baharini kutoka Ras Fumba hadi Ras Kiromoni umewasili Zanzibar

HATIMAE waya mpya wa umeme utakaolazwa baharini kutoka Ras Fumba Zanzibar hadi Ras Kiromoni Dar-es-Salaam umewasili Zanzibar na kupokewa rasmi pamoja na kukaguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti…

Read More