Dk.Shein ameibomoa ngome ya CUF huko Kiungoni Pemba .

MGOMBEA nafasi ya Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein ameibomoa ngome ya CUF huko Kiungoni Pemba na kuvuna wanachama zaidi ya 40 huku…

Read More

Epukeni siasa za chuki zilizoanza kurejeshwa tena na wafusi wa chama cha CUF.

VIONGOZI wa CCM Zanzibar wamewataka wananchi na wanaCCM wa kisiwa cha Pemba kuepuka siasa za chuki zilizoanza kurejeshwa tena na wafusi wa chama cha CUF licha ya kuwa tayari chama hicho kimefanya…

Read More

Wananchi kisiwani Pemba wametakiwa kuwachagua viongozi wenye kujali maslahi yao.

Wananchi kisiwani Pemba wametakiwa kuwachagua viongozi wa CCM ambao watakaa pamoja na wao na sio wale viongozi wanaowachagua kutoka vyama vya upinzani ambao wakishapata nafasi za uongozi huwakimbia…

Read More

.Dk. Shein kuimarisha sekta ya michezo.

Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein amewahakikishia wananchi wa Zanzibar kuwa atakapoingia madarakani katika awamu…

Read More

Wananchi wa Kiwani wametakiwa kutofanya makosa ya kuwachagua Viongozi wa vyama vya upinzani

Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamewataka wananchi wa Kiwani kutodanganyika na kutofanya makosa ya kuwachagua viongozi wa vyama vya upinzani ambao wamekuwa wakitoa ahadi zisizoweza kutekelezeka.Viongozi…

Read More

Nichagueni tena tuendelee kushirikiana kwa kuongoza kasi ya kuijenga Zanzibar.

Mgombea wa nafasi ya urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amewataka wananchi kumpa tena fursa ya kuongoza ili waendelee kushirikiana kuijenga Zanzibar.Amesema katika…

Read More

Suala la Mafuta lisipotoshwe kwa manufaa ya kisiyasa.

Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema suala la mafuta kutolewa katika mambo ya muungano ni matokeo ya jitihada za pamoja kati ya Serikali ya Mapinduzi…

Read More

Serikali nitakayoiunda itaendelea kuwajali Vijana,Wazee,Wanawake na Watu wenye Ulemavu.

Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Dk. Ali Mohamed Shein amewataka wananchi kumchagua tena kushika nafasi hiyo huku akiwahakikishia vijana, wazee, wanawake…

Read More