RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Alhajj Dk. Ali Mohamed  Shein, akitia ubani  kumainisha kuyafungua Maulidi ya Kuadhimisha Kuzaliwa kwa MtUME Muhammad (S.A.W) yaliofanyika katika viwanja ya Maisara Suleiman Jijini Zanzibar

MAULIDI YA KUADHIMISHA KUZALIWA MTUME MUHAMMAD (S.A.W)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein jana aliwaongoza Waumini wa dini ya Kiislamu pamoja na wananchi mbali mbali katika Maulidi ya kuadhimisha Kuzaliwa…

Read More
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akimfariji  mmoja wa wahanga wa matukio ya kupigwa katika eneo la Kwale Wilaya ya Micheweni Pemba Ndg. Hassan Khamis Hamad, alipofika katika Hospitali ya Micheweni Pemba kuwaj

DK SHEIN AMEWATEMBELEA MAJERUHI KATIKA HOSPITALI YA MICHEWENI PEMBA.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein leo amefika hospitali ya Micheweni kwa ajili ya kuwapa pole wanachama wa CCM waliovamiwa na kupigwa huko katika kijiji…

Read More
Rais  wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Barazi la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifungua pazia kama ishara ya Ufunguzi wa Barabara ya Ole-Kengeja Mkoa wa Kusini Pemba ilioyojengwa na Wakala wa Barabara (ZANROAD).

UFUNGUZI WA BARABARA YA OLE - KENGEJA.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa barabara zinafungua milango na kuleta manufaa katika ukuaji na maendeleo ya uchumi na kijamii.

Read More
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe DK.Ali Mohamed Shein, akihutubia katika mkutano wa kampeni ya CCM ya Mgombea Urais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Hassan Mwinyi.

MKUTANO WA KAMPENI ZA CCM MICHEWENI.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amewataka wananchi wa Wilaya Micheweni na Wazanzibari kwa ujumla, kuwachagua wagombea kutoka Chama cha Mapinduzi (CCM),…

Read More
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiondoa kitamba akiweka Jiwe la Msingi la Ufunguzi wa Chuo Cha Amali Daya mtambwe.

UFUNGUZI WA CHUO CHA AMALI DAYA MTAMBWE.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa kuzinduliwa kwa Chuo cha Amali cha Daya Mtambwe na kile cha Kisongoni Makunduchi ni fursa ya pekee ya…

Read More
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  akikata utepe kuashiria  Ufunguzi wa Jengo la Mama na mtoto Hospitali ya Kivunge   Wilaya ya Kaskazini

UZINDUZI WA JENGO LA MAMA NA MTOTO KATIKA HOSPITALI YA WILAYA KIVUNGE.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amewataka madaktari na wauguzi pamoja na watoa huduma za afya hapa nchini kuipenda kazi yao, kuwa na huruma, kuwa wastahamilivu…

Read More

UZINDUZI WA NYUMBA ZA MJI MPYA WA KWAHANI.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema ujenzi wa nyumba za Mji mpya wa Kwahani, umeakisi dhamira ya chama cha Afro Shirazi (ASP) katika kuwapatia…

Read More
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akihutubia na kumuombea Kura Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM Mhe.Dk. Hussein Mwinyi kwa Wananchi wa

MKUTANO WA CCM CHWAKA.

MAKAMO Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein alisisitiza haja ya kumpa kura nyingi Dk. Mwinyi ili aendelee…

Read More