News and Events

Dk. Hussein Ali Mwinyi, amezitaka Halmashauri za Wilaya na Mabaraza ya Miji kutumia vyema fedha wanazokusanya kwa miradi ya Maendeleo

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, amezitaka Halmashauri za Wilaya na Mabaraza ya Miji kutumia vyema fedha wanazokusanya kwa miradi ya Maendeleo, badala…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi amemuhakikishia Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo kuwa ataendelea kushirikiana nae katika kuhakikisha Ilani ya Uchaguzi ya CCM inatekelezwa ipasavyo

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amemuhakikishia Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo kuwa ataendelea kushirikiana nae katika kuhakikisha…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewahakikishia wananchi wa Shehiya ya Kiongwe kuwa Barabara ya Bumbwini - Kiongwe, itajengwa kwa kiwango cha lami

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewahakikishia wananchi wa Shehiya ya Kiongwe kuwa Barabara ya Bumbwini - Kiongwe, itajengwa kwa kiwango cha lami…

Read More

Dk.Hussein Ali Mwinyi,amesema Serikali inatambua kuwepo kwa mgogoro wa ardhi unaowahusisha wananchi wa shehiya ya Ubago dhidi ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania,kambi ya Ubago.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali inatambua kuwepo kwa mgogoro wa ardhi unaowahusisha wananchi wa shehiya ya Ubago dhidi ya Jeshi…

Read More