News and Events

AlhajDk. Hussein Ali Mwinyi ameushukuru uongozi wa Mkoa wa Kusini Unguja kwa uratibu mzuri wa hafla ya futari.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, AlhajDk. Hussein Ali Mwinyi ameushukuru uongozi wa Mkoa wa Kusini Unguja kwa uratibu mzuri wa hafla ya futari.Alhaj Dk. Mwinyi ameusifu…

Read More

MKE wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Mama Mariam Mwinyi ameiasa jamii kujitahidi kukithirisha ibada ndani ya mwezi huu Mtukufu wa Ramadhan na kutoa sadaka kwa wingi

MKE wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Mama Mariam Mwinyi ameiasa jamii kujitahidi kukithirisha ibada ndani ya mwezi huu Mtukufu wa Ramadhan na kutoa sadaka kwa wingi hasa kuwafikia watu wenye mahitaji…

Read More

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Al hajj Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa shukurani zake za dhati kwa Jumuiya ya Zawiyyatul Qadiria - Tanzania

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Al hajj Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa shukurani zake za dhati kwa Jumuiya ya Zawiyyatul Qadiria - Tanzania iliyomuombea dua Hayati Mzee…

Read More

Rais wa zanzibar na MBLM Dk.Hussein Ali Mwinyi amevipongeza Vikosi vya JKU, Chuo cha Mafunzo na Zimamoto.

Kamanda Mkuu wa Idara Maalum za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amevipongeza Vikosi vya Jeshi la Kujenga Uchumi(JKU),…

Read More