• RAIS wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF) Dkt.Patrice Motsepe akimkabidhi zawadi ya mpira maalum Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 24-5-2024, akiwa na Ujumbe wake
  • RAIS wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF) Dkt.Patrice Motsepe akimkabidhi zawadi ya mpira maalum Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 24-5-2024, akiwa na Ujumbe wake
  • RAIS wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF) Dkt.Patrice Motsepe akisaini mpira kwa ajili ya kumkabidhi zawadi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk .Hussein Ali Mwinyi, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 24-5-2024.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF) ukiongozwa na Rais wa CAF Dkt. Patrice Motsepe (kulia kwa Rais) mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 24-5-2024
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika mazungumzo na mgeni wake Rais Shirikisho la Soka Afrika (CAF) mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 24-5-2024