Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi leo amemuapisha Kepteni Hussein Mohamed Seif kuwa Naibu Mkuu wa Kikosi Maalum cha Kuzuia Magendo(KMKM) Zanzibar katika
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Kikosi cha kuzuia magendo (KMKM) Zanzibar pamoja na Naibu wa kikosi hicho baada ya kuapishwa kuwa Naibu mkuu wa KMKM Zanzibar katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.