State House Blog

Rais Mwinyi amehudhuria Dua na Hitma Kidombo Mkoa wa Kaskazini Unguja.

Mama Mariam Mwinyi Mgeni Rasmii,Maulid ya Madrasatul Mushawasl Muembe Shauri

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi ameshiriki kisomo cha Hitma na kutowa Mkono wa pole kwa Familia ya Marehemu Mussa Hassan Mussa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Amani Zanzibar.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amewasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar akitokea Nchini Oman baada ya kumaliza ziara yake ya kikazi.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amekutana na kufanya mazungumzo na Mtawala wa Oman Mhe: Sultan Haitham bin Tariq kwa mazungumzo yaliyofanyika katika Kasr