State House Blog

Rais wa Zanzibar na MBLM Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na kuzungumza na Waziri wa Sheria na Katiba Prof. Palamagamba Kabudi Ikulu Zanzibar

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na Kuzungumza na Makamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi Tanzania Ikulu Zanzibar leo.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi amekutana na kuzungumza na Kamishna Mkuu wa TRA Ikulu Zanzibar.

Rais wa Zanzibar akizungumza na Uongozi wa Istiqama Charitable Organization.

Balozi mdogo wa Msumbiji amejitambulisha kwa Mheshimiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi.