Rais wa Zanzibar Alhajj Dk.Hussein Mwinyi amejumuika na Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja katika Iftaar katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakili Kikwajuni Unguja.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi Maalumu na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa, baada ya kumalizika kwa hafla ya Iftaar iliyoandaliwa kwa Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, iliyofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar jana 12-3-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, baada ya kumalizika kwa hafla ya Iftaar aliyowaandaliwa Wananchi wa Mkoa huo,iliyofanyika katika ukumbi wa Sheikh.Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar jana 12-3-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi na Wananchi katika kuitikia Dua ikisomwa na Mifti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi (kushoto kwa Rais) baada ya kumalizika kwa hafla ya Iftaar, iliyofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar na (kulia kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe. Haroun Ali Suleiman, iliyofanyika jana 12-3-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkaribisha tende Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Saleh Omar Kabi kwa ajili ya kufungulia saumu ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, wakati wa hafla ya Iftar iliyoandaliwa katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar,iliyofanyika jana 12-3-2025
BAADHI ya Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza na kuwasalimia Wananchi baada ya kumalizika kwa hafla ya Iftaar iliyoandaliwa Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja iliyofanyika jana 12-3-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi na Wananchi wa Makundi Maalumu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja,katika Iftaar aliyowaandalia katika ukumbi wa Sheikh.Idrissa Abdulwakil Kikwajini Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar, iliyofanyika jana 12-3-2025
MTOTO Samir Idrisa akipata futari maalumu iliyoandiliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi kwa Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja wa Makundi Maalumu iliyofanyika katika ukumbi wa Sheikh.Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja iliyofanyika jana 12-3-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkaribisha tende Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Saleh Omar Kabi kwa ajili ya kufungulia saumu ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, wakati wa hafla ya Iftar iliyoandaliwa katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar,iliyofanyika jana 12-3-2025
Rais wa Zanzibar Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi amekabidhi Sadaka ya Futari kwa Wananchi wa Makundi Maalumu.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Sadaka ya Futari Mwananchi Hafsa Omar Hamad, hafla hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 12-3-2025, amakabidhi sakada hiyo ya futari kwa Wananchi wa makundi maalumu
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsalimia Mwananchi Hafsa Omar Hamad,kabla ya kukabidhi sadaka ya futari, hafla hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 12-3-2025, amakabidhi sakada hiyo ya futari kwa Wananchi wa makundi maalumu
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Sadaka ya Futari Mwananchi Abdulrahim Bakari Abdallah, hafla hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 12-3-2025, amakabidhi sakada hiyo ya futari kwa Wananchi wa makundi maalumu
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Sadaka ya Futari Mwananchi Aviwa Omar Khamis, hafla hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 12-3-2025, amakabidhi sakada hiyo ya futari kwa Wananchi wa makundi maalumu
Rais wa Zanzibar Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi amefungua Skuli ya Msingi ya Ghorofa ya Abeid Amani Karume Mwera.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mwanafunzi Adam Simai Uwesu wa Darasa la Sita Skuli ya Msingi Mwera, akitowa maelezo ya matumizi ya vifaa vya Maabara wakati akitembelea maabara ya Skuli ya Msingi ya Abeid Amani Karume leo 12-3-2025, baada ya kuifungua
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisoma vitabu wakati akiwa katika chumba cha Maktaba ya Skuli ya Msingi ya Abeid Amani Karume Mwera Wilaya ya Kati Unguja, baada ya kuifungua leo 12-3-2025.akiwa na Wanafunzi wa Skuli ya Msingi Mwera wajisomea vitabu
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisoma vitabu wakati akiwa katika chumba cha Maktaba ya Skuli ya Msingi ya Abeid Amani Karume Mwera Wilaya ya Kati Unguja, baada ya kuifungua leo 12-3-2025.akiwa na Wanafunzi wa Skuli ya Msingi Mwera wajisomea vitabu
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk .Hussein Ali Mwinyi akiondoa pazia na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Lela Muhamed Mussa (kushoto) kuweka Jiwe la Msingi la Ufunguzi wa Skuli ya Msingi ya Abeid Amani Karume Mwera Wilaya ya Kati Unguja, ufunguzi huo uliyofanyika leo 12-3-2025, na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kuifungua Skuli ya Msingi ya Abeid Amani Karumeu Mwera Wilaya ya Unguja, ufunguzi huo uliyofanyika leo 12-3-2025 na (kulia kwa Rais) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe.Lela Muhammed Mussa na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisoma vitabu wakati akiwa katika chumba cha Maktaba ya Skuli ya Msingi ya Abeid Amani Karume Mwera Wilaya ya Kati Unguja, baada ya kuifungua leo 12-3-2025.akiwa na Wanafunzi wa Skuli ya Msingi Mwera wajisomea vitabu
Rais wa Zanzibar Alhajj Dk.Hussein Mwinyi amejumuika na Wananchi wa Kwahani katika Maziko ya Marehemu Maryam Maziku.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Wananchi baada ya kumalizika kwa Sala ya Maiti kumsalia Marehemu Maryam Maziku mkaazi wa Kwahani Jimbo la Kwahani Zanzibar, iliyofanyika katika Msikiti wa Bomani Polisi Wilaya ya Mjini Unguja leo 12-3-2025.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk .Hussein Ali Mwinyi akibeba jeneza likiwa na mwili wa Marehemu Maryam Maziku, mzee wa Jimbo la Kwahani Zanzibar,katika Msikiti wa Bomani Polisi Wilaya ya Mjini Unguja, kwa ajili ya Sala ya Maiti iliyofanyika katika Msikiti huo leo 12-3-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akibeba jeneza likiwa na mwili wa Marehemu Maryam Maziku, mzee wa Jimbo la Kwahani Zanzibar,katika Msikiti wa Bomani Polisi Wilaya ya Mjini Unguja, kwa ajili ya Sala ya Maiti iliyofanyika katika Msikiti huo leo 12-3-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika Sala ya Maiti kumsalia Marehemu Maryam Maziku, mkaazi wa Kwahani Jimbo la Kwahani Zanzibar, Sala hiyo iliyofanyika katika Msikiti wa Bomani Polisi Wilaya ya Mjini Unguja leo 12-3-2025
Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amehutubia Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani katika Ukumbi wa Maonesho Nyamazi Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizindua Kitabu cha Muongozo wa Uazishwaji na Uwendeshaji wa Majukwaa ya Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi Zanzibar, wakati wa hafla ya mkutano wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani iliyoadhimishwa leo 6-3-2025 katika ukumbi wa Maonesho Nyamazi Wilaya ya Magharibi “B” Unguja na (kulia kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Zanzibar Mhe. Riziki Pembe Juma.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizindua Kitabu cha Muongozo wa Uazishwaji na Uwendeshaji wa Majukwaa ya Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi Zanzibar, wakati wa hafla ya mkutano wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani iliyoadhimishwa leo 6-3-2025 katika ukumbi wa Maonesho Nyamazi Wilaya ya Magharibi “B” Unguja na (kulia kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Zanzibar Mhe. Riziki Pembe Juma
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk .Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, yaliyoadhimishwa leo 6-3-2025 katika ukumbi wa Moanesho Nyamazi Wilaya ya Magharibi “B” Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizundua Muongozo wa Uwezeshaji wa Majukwaa ya Wanawake Kiuchumi na Uzinduzi wa Mpango wa Kitaifa wa Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto 2025/2030, wakati wa mkutano wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, yaliyofanyika katika ukumbi wa moanesho Nyamazi Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 6-3-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk .Hussein Ali Mwinyi akizundua Muongozo wa Uwezeshaji wa Majukwaa ya Wanawake Kiuchumi na Uzinduzi wa Mpango wa Kitaifa wa Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto 2025/2030, wakati wa mkutano wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, yaliyofanyika katika ukumbi wa moanesho Nyamazi Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 6-3-2025