Media

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiponyeza kitufe kuashiria kuyafungua Maonesho ya Kilimo Zanzibar katika viwanja vya Kizimbani Wilaya Magharibi

DK. SHEIN AMEFUNGUA MAONESHO YA KILIMO KIZIMBANI ZANZIBAR.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Awamu ya Saba ina dhamiria kuendeleza sekta ya kilimo kwa gharama yoyote…

Read More
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi, alipowasili Uwanja wa Kimataifa waAbeid Amani Karume Zanzibar akitokea Nchini Uingereza kwa ziar

DK.SHEIN AMEWASILI ZANZIBAR AKITOKEA NCHINI UINGEREZA KWA ZIARA MAALUM.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, amerejea nchini leo akitokea Uingereza.

Read More

SALAMU ZA PONGEZI.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amemtumia salam za pongezi Rais wa Jamuhuri ya Misri Abd El Fattah Saeed Hussein Khalil El Sisi, kwa kuadhimisha miaka…

Read More

SALAMU ZA RAMBIRAMBI.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, amemtumia salamu za rambirambi Mwenyekiti wa Makampuni ya S.S. Bakhresa, Sheikh Said Salim Bakhressa kufuatia vifo…

Read More
Balozi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Nchi za Falme za Kiarabu (UAE) Mhe.Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk, kulia akiwasilisha Salamu za rambirambi kwa Niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza  la Mapinduzi Mhe.Dkt. Ali Mohamed S

MTAWALA WA SHARJAH AMEPOKEA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUTOKA KWA RAIS WA ZANZIBAR.

MTAWALA wa Sharjah Sheikh Sultan Bin Mohammad Al Qasimi amepokea salamu za rambirambi kutoka kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein alizozituma kwa Mtawala…

Read More
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na kuagana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi, akiondoka Zanzibar kuelekea Nchini Uingereza kwa safari Maalum, akiwa katika Uwanja w

DK. SHEIN AMEELEKEA NCHINI UINGEREZA KWA SAFARI MAALUM.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, ameondoka nchini leo kuelekea Uingereza kwa safari maalum ya wiki tatu.

Read More

SALAMU ZA PONGEZI.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amewatumia salamu za pongezi Rais wa Rwanda Paul Kagame na Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza kwa kutimiza miaka 57…

Read More

MAADHIMISHO YA SIKU YA UTUMISHI WA UMMA ZANZIBAR.

UONGOZI wa Ofisi ya Rais na Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa kushirikiana na Chuo cha Utawala wa Umma (IPA) umetakiwa kuandaa programu maalum ya mafunzo ya muda mfupi kwa ajili ya Viongozi,…

Read More