State House Blog

Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mke wa Rais Wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi amezungumza na waheshimiwa Mabalozi Wanawake wa Tanzania.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika mazungumzi na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe.Innocent Lugha Bashungwa (Mb) alipofika Ikulu

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amehutubia maadhimisho ya Miaka Miwili ya Uongozi wake katika ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Wete Pemba.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk,Hussein Mwinyi amefungua mkutano 7th Pan African Humanitarian & Investment Summit Zanzibar 2022”.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi amekutana na wajumbe wa Bodi ya BOT ukiongozwa na Gavana wa BOT Prof Florens Luoga Pwat.