State House Blog

Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 58 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amemtunuku Nishani ya Mapinduzi Rais Mstaafu wa Zanzibar awamu ya saba Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein katika viwanja vya Ikulu Zanzibar.

Uzinduzi wa Kikosi kazi kitakachojadili hoja za wadau wa mkutano wa Demokrasia ya vyama vingi vya siasa.

Ufunguzi Wa Jengo La Mahkama Kuu Zanzibar.

RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK,.HUSSEIN ALI MWINYI AMEKUTANA NA KUZUNGUMZA NA WAZIRI MKUU MHE KASSIM MAJALIWA IKULU ZANZIBAR