State House Blog

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Wananchi wa Mkoa wa Kusini Pemba katika Futari maalum aliyowaandalia katika ukumbi wa uwanja wa Watoto Tibirinzi Chake Chake Pemba.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekabidhi Msaada wa Futari kwa Wananchi wenyemahitaji maalum Kisiwani Pemba.

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amejumuika na wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Pemba katika Futari aliyowaandali.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akabidhi Boti nane na Mashine za Boti 16 kwa wavuvi wa Pemba

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na kuzungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Stanbic Bank Tanzania Ikulu Zanzibar.