State House Blog

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja katika Futari aliyowaandalia katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja katika Futari aliyowaandalia ukumbi wa Suza

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia siki ya Wafanyakazi Duniani ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni jJijini Zanzibar.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi amefanya mazungumzo na Balozi wa Switzerland Nchini Tanzania Ikulu Zanzibar

Rais wa Zanzibare Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amewaapishwa Wakuu wa Vikosi vya Idara Maalum za SMZ Ikulu Zanzibar.