State House Blog

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amewasili Abu Dhabi kwa ziara ya Kiserikali katika nchi za Umoja wa Falme za Kiarabu UAE.

Rais wa Zanzibar Dk.Hussein Ali Mwinyi ameondoka nchini kuelekea nchi za Falme za Kiarabu.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekabidhi Kombe la Mapinduzi kwa Mshindi wa michuano hiyo uwanja wa Amaan Zanzibar.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na kuzungumza na Mkuu wa JKT Ikulu Zanzibar.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amehudhuria Taarab rasmin ya Kikundi cha Taifa kusherehekea Miaka 58 ya Mapinduzi ya Zanzibar.