State House Blog

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussin Ali Mwinyi azindua Miradi ya Maendeleo

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.,Hussein Ali Mwinyi ameweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Nyumba za Makaazi za Mradi wa Blue Ocean Residen.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na kuzungumza na Mwakilishi wa Unicef anayefanyika kazi zake Ofisi ya Zanzibar.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amewaapisha Viongozi aliowateua hivi Karibuni hafla hiyo imefanyika Ikulu Zanzibar.

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Wananchi wa Mkwajuni Kidombo katika Dua Maalum na Kisomo cha Hitma