State House Blog

Tamasha la usiku wa Dk.Mwinyi la kumpongeza Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Hussein Mwinyi viwanja vya Maisara Suleiman Unguja,tarehe 11 Disemba,2022.

Makamo Mwenyekiti Mstaafu wa CCM Zanzibar na Rais mstaafu wa Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akimkaribisha Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar pia Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi amemuapisha Mhe. Simai Mohammed Said kuwa Mjumbe wa Tume ya Mipango Zanzibar.

MAMA MARIAM MWINYI AMEZINDUA MBIO KILOMITA 5,10 NA KUSHIRIKI MATEMBEZI

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Meneja Mkaazi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) katika Ofisi ya Tanzania Dkt.Patricia Laverley