State House Blog

Dk. Hussein Mwinyi amewaapisha Wakuu wa Mikoa aliowateua hivi karibuni.

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja aliyemteua hivi karibuni Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 3/12/2020
  • MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla, Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi na Utawala Bora.Mhe.Haroun Ali Suleiman na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa,Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ.Mhe.Masoud Ali Mohammed, wakifuatilia hafla ya uapishaji wa Wakuu wa Mikoa walioteuliwa hivi karibuni, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
  • WAKUU wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) baada ya kuwaapisha Wakuu wa Mikoa wapya,hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 3/12/2020.
  • WAKUU wa Wilaya na Wanafamilia wakifuatila hafla ya kuapishwa kwa Wakuu wa Mikoa wa Zanzibar katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar wakiapishwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) hafla hiyo imefanyika leo 3/12/2020
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba aliyemteua hivi karibu Mhe.Mattar Zahor Masoud, hafla hiyo imefanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba aliyemteua hivi karibu Mhe.Mattar Zahor Masoud, hafla hiyo imefanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba aliyemteua hivi karibuni Mhe Salama Mbarouk Khatib, hafla hiyo ya kuapishwa imefanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja aliyemteua hivi karibuni Mhe Idrisa Kitwana Mustafa, hafla hiyo ya kuapishwa imefanyika leo 3/12/2020 katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba aliyemteua hivi karibuni Mhe Salama Mbarouk Khatib, hafla hiyo ya kuapishwa imefanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja aliyemteua hivi karibuni Mhe Idrisa Kitwana Mustafa, hafla hiyo ya kuapishwa imefanyika leo 3/12/2020 katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja aliyemteua hivi karibuni Mhe. Rashid Hadidu Rashid, hafla hiyo ya kuapishwa imefanyika leo 3/12 /2020 katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja aliyemteua hivi karibuni Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 3/12/2020
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akihutubia baada ya kumaliza kuwaapisha Wakuu wa Mikoa wa Zanzibar katika hafla iliofanyika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 3/12/2020
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akihutubia baada ya kumaliza kuwaapisha Wakuu wa Mikoa wa Zanzibar katika hafla iliofanyika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 3/12/2020
  • WAKUU wa Mikoa Wapya wa Zanzibar wakifuatili kwa makini hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akihutubia baada ya kumaliza kuwaapisha katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 3/12/2020.
  • WA KWANZA kutoka kushoto Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Zuberi Ali Maulid, Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Mhe.Dkt. Mwinyi Talib Haji na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia baada ya kuwaapisha Wakuu wa Mikoa wa Zanzibar aliowateua hivi karibuni, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
  • WAKUU wa Mikoa Wapya wa Zanzibar wakifuatili kwa makini hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akihutubia baada ya kumaliza kuwaapisha katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 3/12/2020.
  • WAKUU wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) baada ya kuwaapisha Wakuu wa Mikoa wapya,hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 3/12/2020.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja aliyemteua hivi karibuni Mhe. Rashid Hadidu Rashid, hafla hiyo ya kuapishwa imefanyika leo 3/12 /2020 katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.

Rais wa Zanzibar Dk. Hussein Ali Mwinyi amekutana na uongozi wa NBC

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya NBC Tanzania Nd.Theobald Sabi akiongoza Ujumbe wa Benki hiyo walipokutana na Rais leo katika Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya NBC Tanzania Nd.Theobald Sabi akiongoza Ujumbe wa Benki hiyo aliofuatana nao walipokutana na Rais leo katika Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya NBC Tanzania Nd.Theobald Sabi akiongoza Ujumbe wa Benki hiyo aliofuatana nao walipokutana na Rais leo katika Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya NBC Tanzania Nd.Theobald Sabi akiongoza Ujumbe wa Benki hiyo walipokutana na Rais leo katika Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya NBC Tanzania Nd.Theobald Sabi akiongoza Ujumbe wa Benki hiyo aliofuatana nao walipokutana na Rais leo katika Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar

Timu ya Mlandege wakabidhiwa Fedha.

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akizungumza na wafanyabiashara na Viongozi wa Timu ya Mpira ya Mlandege leo katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar katika hafla ya kukadidhiwa fedha Timu ya Mpira ya Mlandege inayotarajiwa kusafiri kwenda nchini Tunis,Tunisia katika mashindano ya Club Bingwa Barani Afrika na Timu ya CS SFAXIEN ya Tunisia
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akizungumza na wafanyabiashara na Viongozi wa Timu ya Mpira ya Mlandege leo katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar katika hafla ya kukadidhiwa fedha Timu ya Mpira ya Mlandege inayotarajiwa kusafiri kwenda nchini Tunis,Tunisia katika mashindano ya Club Bingwa Barani Afrika na Timu ya CS SFAXIEN ya Tunisia.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)akimkabidhi fedha tasilim za KitanzaniaMillioni Thalathini na Tano Mwenyekiti wa Timu ya Mpira wa Miguu ya Mlandege Nd.Ali Khatib Dai,ambapo Timu hiyo inatarajiwa kusafiri kwenda nchini Tunis,Tunisia katika mashindano ya Club Bingwa Barani Afrika na Timu ya CS SFAXIEN ya Tunisia .

Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM.

  • Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Zanzibar) Rais Mstaafu wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein pamoja na Rais wa Zanzibar Dk. Hussein Ali Mwinyi na WMwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Zanzibar) Rais Mstaafu wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein pamoja na Rais wa Zanzibar Dk. Hussein Ali Mwinyi na W
  • Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM ambae pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akipiga makofi wakati wakiimba Wimbo wa Chama cha Mapinduzi pamoja na Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM muda mfupi kabla ya kuanza kuongozaMwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM ambae pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akipiga makofi wakati wakiimba Wimbo wa Chama cha Mapinduzi pamoja na Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM muda mfupi kabla ya kuanza kuongoza
  • Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM ambae pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akipiga makofi wakati wakiimba Wimbo wa Chama cha Mapinduzi pamoja na Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM muda mfupi kabla ya kuanza kuongozaMwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM ambae pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akipiga makofi wakati wakiimba Wimbo wa Chama cha Mapinduzi pamoja na Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM muda mfupi kabla ya kuanza kuongoza
  • MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi ambae pia ni Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.John Pombe Magufuli akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar  Rais Mstaaf wa Zanzibar Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, alipowasili katika ukumbiMWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi ambae pia ni Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.John Pombe Magufuli akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar Rais Mstaaf wa Zanzibar Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, alipowasili katika ukumbi
  • WAJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM wakisoma makabrasha kabla ya kuaza kwa Kikao hicho kilichoongozwa na Mwenyekiti wa CCM ambae pia ni Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli (hayupo pichani)WAJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM wakisoma makabrasha kabla ya kuaza kwa Kikao hicho kilichoongozwa na Mwenyekiti wa CCM ambae pia ni Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli (hayupo pichani)
  • WAJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM kulia Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi na Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa, wakiwa katika ukumbi wa Kikao cha Kamati Kuu wakipitia makabraWAJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM kulia Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi na Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa, wakiwa katika ukumbi wa Kikao cha Kamati Kuu wakipitia makabra
  • MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar Rais Mstaaf wa Zanzibar Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa na (kulia kwa  Dk Shein) Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa amMAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar Rais Mstaaf wa Zanzibar Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa na (kulia kwa Dk Shein) Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa am

DK HUSSEIN ALI MWINYI AZUNGUMZA NA UJUMBE WA DAWOODI BOHRA JAMAAT TANZANIA

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mwenyekiti wa Dawoodi Bohra Jamaat  Dar es Salaam Sheikh.Tayabali Hamza Bhai Patanwalla, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar na Ujumbe wake kwa mazungumzo  na kumpongeza,hafla hiyo imefanyika leo 23/11/2020 na kulia Ndg.Murtaza Ali Bhai
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Jumuiya ya Dawoodi Bohra Jamaat.RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Jumuiya ya Dawoodi Bohra Jamaat.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Jumuiya ya Dawoodi Bohra Jamaat, walipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo 23/11/2020 kwa mazungumzo na kumpongeza,(kushoto kwa Rais) Ndg. Javed Jafferji ,Sheikh.Habibulla N.Jivajee na Sheikh. Muffadal Imad..(
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa hati ya kumpongeza na Viongozi wa Bohra Tanzania, walipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kumpongeza (kulia kwa Rais) Mwenyekiti wa Dawoodi Bohra Jamaat  Dar es Salaam Sheikh. Tayabali Hamza Bhai Patanwalla akiwa na Mwakilishi wa Dawoodi Bohra Jamaat Zanzibar Sheikh.Muffadal Imadi,hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.23/11/2020
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Jumuiya ya Dawoodi Bohra Jamaat, ukiongozwa na Mwenyekiti wa Dawoodi Bohra Jamaat  Dar es Salaam Sheikh Tayabali Hamza Bhai Patanwalla (kulia kwa Rais) na Ndg.Murtza Ali Bhai na Ndg. Nuruddin Bhai Katibu wa Jumuiya hiyo Zanzibar walipofika Ikulu Jijini Zanzibar
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi na (kulia kwa Rais) Mwenyekiti wa Dawoodi Bohra Jamaat Dar es Dalaam Sheikh Tayabali Hamza Bhai Patanwalla wakimsikiliza Ndg.Murtaza Ali Bhai akiwasilisha taarifa ya kumpongeza wakati walipofika IKulu Jijini Zanzibar, kwa mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu  Zanzibar 23/11/2020