State House Blog

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Mahmoud Mussa Wadi (kushoto kwa Rais).

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi amezungumza na Jumuiya ya Magoa Zanzibar Ikulu

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Wananchi katika sala ya Ijumaa Masjid Barwan Mlandege Unguja

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk,Hussein Ali Mwinyi amehudhuria hauli ya Marehemu Alhabab Ahmad Bin Abubakar Bin Sumeyt msikiti mkuu wa Ijumaa Malindi Unguja

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amemtembelea Sheikh Ali Rijali Mavua Nyumbani kwake Mombasa kwa Mchina.