State House Blog

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi amehutubia Maadhimisho ya siku ya Maadili na Haki za Binadamu Zanzibar.

Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation (ZMBF) imepokea vifaa vya Uvuvi.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na kuzungumza na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Ndg. Mohamed Ali Kawaida Ikulu Zanzibar.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amezindua rasmin studio za Wasafi-Fm Zanzibar 88.9

Tamasha la usiku wa Dk.Mwinyi la kumpongeza Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Hussein Mwinyi viwanja vya Maisara Suleiman Unguja,tarehe 11 Disemba,2022.