State House Blog

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Dkt.Said Seif Mzee kuwa Mhasibu Mkuu wa Serikali Zanzibar katika Ofisi ya Rais,Fedha na Mipango.

Rais wa Zanzibar Dk.Hussein Ali Mwinyi amewaapisha Viongozi aliowateuwa hivi karibuni.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amefungua Mkutano wa Wadau wa Sekta ya Bima na Hifadhi ya Jamii Afrika katika Hoteli ya Madinat Al Bahr Mbweni Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na kuzungumza na Waziri Nape Mnauye Ikulu Zanzibar.

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi ameongoza maziko ya marehemu Said Bakari Jecha aliyewahi kuwa Waziri wa SMZ yaliofanyika Fumba.