State House Blog

Rais wa Zanzibar Dk.Hussein Ali Mwinyi amefika nyumbani kwa mfanyakazi wake kutoa mkono wa pole.

Rais Dk.Mwinyi ameshiriki swala ya Ijumaa Msikiti wa Miembeni Zanzibar.

Mke wa Rais Wa Zanzibar ambae ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi amekabidhiwa msaada wa Vifaa kwa ajili ya utengenezaji wa Sabuni ya mwani kwa wanawake.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na kuzungumza na Balozi wa Oman Nchini Tanzania Ikulu Zanzibar

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi amezungumza baada ya kuwaapisha Viongozi aliowateua hivi karibuni