Dk.Hussein Ali Mwinyi amemuapisha Katibu wa Rais Bw. Suleiman Ahmed Saleh Ikulu Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akisaini Hati ya Kiapo ya Katibu wa Rais Bw. Suleiman Ahmed Saleh baada ya kumuapisha 7/11/2020, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Katibu wa Rais Bw. Suleiman Ahmed Saleh, baada ya kumuapisha katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akitambulishwa familia ya Katibu wa Rais Bw. Suleiman Ahmed Saleh (kushoto kwa Rais) baada ya kumalizika kwa hafla ya kuapishwa iliofanyika katika Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimpongeza Katibu wa Rais Bw. Suleiman Ahmed Saleh na kumkabidhi hati yake ya Kiapo baada ya kumuapisha katika Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar na (kushoto kwa Rais) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee.
NDUGU na Familia ya Katibu wa Rais Bw. Suleiman Ahmed Saleh wakihudhuria kuapishwa kwake na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Katibu wa Rais Bw.Ndg.Suleiman Ahmed Saleh, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 7/11/2020, na (kushoto kwa Rais ) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi.Dkt.Abdulhamid Yanya Mzee
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Katibu wa Rais Bw.Ndg.Suleiman Ahmed Saleh, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 7/11/2020, na (kushoto kwa Rais ) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi.Dkt.Abdulhamid Yanya Mzee
MWANASHERIA Mkuu wa Zanzibar Mhe.Dk.Mwinyi Talib Haji, Katibu Mkuu Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Ndg. Salum Maulid na Naiubu Katibu Mkuu Ndg Salum Kassim Ali, wakihudhuria hafla ya kuapishwa kwa Katibu wa Rais Bw.Suleiman Ahmed Saleh, iliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
Alhaj Dkt.Hussein Ali Mwinyi awaasa wananchi kudumisha Amani.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Mwenyekiti wa Masjid Nunge Dodoma Sheikh.Haji Ismai Abdalla baada ya kumaliza Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Masjid Nunge Jijini Dodoma
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Waumini wa Dini ya Kiislam Jijini Dodoma baada ya kumaliza kwa Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Masjid Nunge Dodoma leo 6-11-2020, na kuwanasihi kuendeleza Amani Nchini.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Waumini wa Dini ya Kiislam Jijini Dodoma baada ya kumaliza kwa Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Masjid Nunge Dodoma leo 6-11-2020, na kuwanasihi kuendeleza Amani Nchini
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa Sheikh Abdi Mussa, baada ya kumaliza kwa Sala ya Ijumaa iliofanyika leo 6/11/2020 katika Masjid Nunge Jijini Dodoma na (kulia kwa Rais) Sheikh. Mohammed Said.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe Adam Malima, baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Masjid Nunge Jijini Dodma
Hafla ya kuapishwa Rais wa Tanzania jijini Dodoma.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akipunga mkono wakati Rais Mteule wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili katika uwanja wa Jamuhuri Dodoma kwa ajili ya kuapishwa.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa amesimama Jukwaa kuu la Viongozi wakati ukipigwa wimbo wa Taifa katika hafla ya kuapishwa kwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania iliofanyika katika uwanja wa Jamuhuri Jijini Dodoma.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akipunga mkono wakati Rais Mteule wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili katika uwanja wa Jamuhuri Dodoma kwa ajili ya kuapishwa, baada ya kushinda Uchaguzi Mkuu wa Tanzxania uliofanyika mwezi Oktoba 2020.
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe Profesa Ibrahim Hamis Juma akimuapisha Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli katika uwanja wa Jamuhuri Jijini Dodoma, baada ya kushinda uchaguzi Mkuu wa Tanzania uliofanyika mwaka huu Oktoba 28, 2020.
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akielekea katika jukwaa baada ya kuapishwa Katika uwanja wa Jamuhuri Jijini Dodoma
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe Profesa Ibrahim Hamis Juma akimuapisha Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli , katika uwanja wa Jamuhuri Jijini Dodoma.
Rais wa Zanzibar Dk.Hussein amewasili Dodoma
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewasili Jijini Dodoma asubuhi hii akihudhuria kuapishwa kwa Rais Mteule Dk. John Pombe Magufuli. Rais Dk. Mwinyi amefuatana na mkewe mama Mariam Mwinyi. Katika uwanja wa ndege wa Dodoma Rais Dk. Mwinyi amepokewa na viongozi mbali mbali akiwemo mkuu wa Mkoa huo Dk. Binilith Mahenge
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewasili Jijini Dodoma asubuhi hii akihudhuria kuapishwa kwa Rais Mteule Dk. John Pombe Magufuli. Rais Dk. Mwinyi amefuatana na mkewe mama Mariam Mwinyi. Katika uwanja wa ndege wa Dodoma Rais Dk. Mwinyi amepokewa na viongozi mbali mbali akiwemo mkuu wa Mkoa huo Dk. Binilith Mahenge
Dk.Hussein Ali Mwinyi amemuapisha Mwanasheria Mkuu Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Dk.Mwinyi Talib Haji kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi hati ya kiapo Dk.Mwinyi Talib Haji baada ya kumuapisha kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar hafla iliyofanyika leo ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.(katikati) Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi pia Katibu Kiongozi Dkt.Abduhamid Yahya Mzee.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi akisaini Hati ya Kiapo ya Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Dk. Mwinyi Talib Haji, baada ya kumuapisha leo 4/11/2020, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Dk. Mwinyi Talib Haji, baada kumuapicha leo 4/11/2020 hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.