State House Blog

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi ameendelea na ziara yake Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Leo 17-7-2022

Ziara ya Rais Mkoa wa Mjini Magharibi

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania amejitambulisha kwa Rais Dk.Hussein Ali Mwinyi.

Rais wa Zanzibar ambae pia ni Msarifu wa Taasisi ya Benjamin Mkapa amehudhuria mkutano wa Kumbukizi ya hayati Benjamin William Mkapa Hoteli ya Golden Tulip Zanzibar.

Dk.Mwinyi amezungumza na Mabalozi wa Jumuiya ya Nchi zinazozungumza Kireno.