State House Blog

Rais wa Zanzibar akiagana na Viongozi,mbali mbali katika Uwanja wa Ndege Zanzibar.

Mkutano wa upangaji vipau mbele wa uaandaji wa mipango ya maendeleo Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Dkt.Said Seif Mzee kuwa Mhasibu Mkuu wa Serikali Zanzibar katika Ofisi ya Rais,Fedha na Mipango.

Rais wa Zanzibar Dk.Hussein Ali Mwinyi amewaapisha Viongozi aliowateuwa hivi karibuni.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amefungua Mkutano wa Wadau wa Sekta ya Bima na Hifadhi ya Jamii Afrika katika Hoteli ya Madinat Al Bahr Mbweni Zanzibar.