Dk.Shein amekutana na Balozi wa Shirikisho la Jamhuri ya Brazil nchini Tanzania Antonio A.Cesar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuna umuhimu mkubwa wa kuendeleza ushirikiano uliopo kati ya Zanzibar na Brazil kwa maslahi ya wananchi wa…
Read More