DK.SHEIN AMEZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA NCHI OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA
UONGOZI wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ umetakiwa kuendelea kutoa elimu kwa wananchi juu ya matumizi ya Kamera pamoja na manufaa ya Mradi wa Mji Salama…
Read More