Mama Mariam Mwinyi amesema Dini ya Uislamu amehimiza kuwatunza wazee kwa kuwafanyia wema na ihsani katika maisha yao yote.

MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi amesema kuwa katika Dini ya Uislamu Mwenyezi Mungu amehimiza kuwatunza wazee kwa kuwafanyia wema na ihsani katika maisha yao yote.Mama Mariam Mwinyi…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi amefanya mazungumzo na Viongozi wa Jumuiya ya Wanawake Wajane Zanzibar (ZAWIO).

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameeleza haja ya kurekebishwa Sheria kandamizi ambazo zimekuwa zikiwakosesha haki zao za msingi wanawake wajane hapa…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi amekutana na Uongozi wa Kanisa la Waadventista Wasabato Tanzania.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameuhakikishia uongozi wa Kanisa la Waadventista Wasabato Tanzania kwamba Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea…

Soma Zaidi

Maisha ya Marehemu Dk,John Pombe Magufuli yalikuwa ni darasa tosha kwa viongozi na Watanzania wote juu ya namna wanavyotakiwa kuishi

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa maisha ya Marehemu Dk, John Pombe Magufuli yalikuwa ni darasa tosha kwa viongozi na Watanzania wote juu…

Soma Zaidi

Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kwamba mwezi mtukufu wa Ramadhani ni mwezi wa kuhurumiana

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kwamba mwezi mtukufu wa Ramadhani ni mwezi wa kuhurumiana ikiwa ni pamoja na kuwasaidia wanyonge wakiwemo…

Soma Zaidi