Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kununua boti mpya ili kuwasaidia wananchi wakiwemo Wazee.

MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein ameeleza azma ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kununua boti mpya ili kuwasaidia wananchi wakiwemo wazee wanaoishi katika visiwa vidogo…

Soma Zaidi

Ufungaji wa Mafunzo ya Upishi na Ukarimu awamu ya tatu.

UTOAJI wa mafunzo ya watumishi katika maeneo ya kazi ni miongoni mwa vipaumbele vya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Awamu ya Saba chini ya uongozi wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza…

Soma Zaidi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Bw.Abdalla Rashid Abdulla  kuwa Mshauri wa Rais Mambo ya Siasa katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar.

DK. SHEIN AMEWAAPISHA WASHAURI WA RAIS.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein leo amewapisha Washauri wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi aliowateua hivi karibuni.

Soma Zaidi

UZINDUZI WA MT. UKOMBOZI II.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, amelitaka Shirika la Meli Zanzibar kuwa na mipango madhubuti ya mafunzo kwa watendaji na waongozaji wa vyombo vya…

Soma Zaidi

SALAM ZA PONGEZI.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amemtumia salamu za pongezi Rais wa Jamuhuri ya Watu wa China Xi Jinping pamoja na wananchi wa Taifa hilo kwa kuadhimisha…

Soma Zaidi

UTEUZI.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa viongozi katika Taasisi mbalimbali za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kama ifuatavyo:-

Soma Zaidi

DK.SHEIN AMEWASILI ZANZIBAR AKITOKEA RAS AL KHAIMAH BAADA YA KUMALIZA ZIARA YA WIKI MOJA.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amerejea nchini leo akitokea Nchi za Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ambapo alifanya ziara nchini Ras Al Khaimah pamoja…

Soma Zaidi

SMZ YATILIANA SAINI NA KHALIFA FUND.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameshiriki katika utiaji saini Mkataba wa Makubaliano kati ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Umoja wa Nchi za…

Soma Zaidi