RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika picha ya pamoja na Majaji wa Mahkama Kuu Zanzibar.

MAADHIMISHO SIKU YA SHERIA ZANZIBAR YAFANYIKA KISIWANI PEMBA.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa umadhubuti wa nchi pamoja na utajiri wake unategemea kwa kiasi kikubwa jinsi gani nchi hiyo imejidhatiti…

Read More
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Waziri wa Kilimo na Masuala ya Ardhi wa Jamuhuri ya Kiarabu wa Watu wa Misri, Dkt.Ezzaldin O.Abusteit.

DK.SHEIN AMEZUNGUMZA NA WAZIRI WA KILIMO NA MUSUALA YA ARDHI WA MISRI.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameipongeza azma ya Jamhuri ya Kiarabu ya Misri ya kuendelea kuiunga mkono Zanzibar katika kuimarisha sekta ya kilimo…

Read More
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Kilimo Maliasi, Mifugo na Uvuvi Zanzibar.

DK. SHEIN AMEZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA KILIMO MALIASILI MIFUGO NA UVUVI ZANZIBAR.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesisitiza azma ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ya kuanzisha Taasisi ya Utafiti ya Uvuvi na Mazao ya Bahari ili…

Read More
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Utangazaji Zanziobar (ZBC) na Uongizi wa Shirika hilo.

DK. SHEIN AMEZUNGUMZA NA BODI YA WAKURUGENZI WA ZBC.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameeleza azma ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ya kuendelea kuliimarisha Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC) ili…

Read More
RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK.SHEIN, AKIWAFARIJI FAMILIA YA MUASISI WA CCM ZANZIBAR BI.JOHARI YUSSUF AKIDA.

DK.SHEIN AMEIFARIJI FAMILIA YA MUASISI WA CCM ZANZIBAR BI.JOHARI YUSSUF AKIDA.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein pamoja na Mama Mwanamwema Shein wametoa mkono wa pole kwa familia ya Marehemu Bi Johari Yussuf Akida kufuatia…

Read More
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa na Waziri wa Vijana Michezo Utamaduni na Sanaa Mhe.Balozi Ali Karume, wakifuatilia moja ya nyimbo ya kikundi hicho.

DK. SHEIN AMEHUDHURIA TAARAB RASMIN YA KUADHIMISHA MIAKA 55 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR.

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Vijana,Utamaduni,Sanaa na Michezo Omar Hassan ‘King’ amesema tayari Wizara hiyo imekipatia Kikundi cha Taarabu cha Taifa ofisi za kuendeshea shughuli zake pamoja…

Read More
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Ali Mohamed Shein, akikagua Gwaride rasmi la Sherehe za Mapinduzi kuadhimisha Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar zilizofanyika katika Uwanja wa Gombani Kisiwani Pemba.

MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA MIAKA 55 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR UWANJA WA GOMBANI PEMBA.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa kutokana na juhudi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar za kuimarisha uchumi wake ukusanyaji wa mapato…

Read More
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika picha ya pamoja na Wananchi waliotunukiwa Nishani ya Mapinduzi na Uongozi Uliotukuku, baada ya hafla ya kukabidhiwa Nishani hizo.

DK. SHEIN AMETUNUKU NISHANI ZA MAPINDUZI NA UONGOZI ULIOTUKUKA KATIKA VIWANJA VYA IKULU ZANZIBAR.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein ametunuku Nishani ya Mapinduzi, Nishani ya Utumishi Uliotukuka pamoja na Nishani ya Ushujaa kwa Viongozi, Watumishi…

Read More