Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema nia njema ya Hayati Rais Benjamin William Mkapa ilichangia sana kupatikana kwa Muafaka wa kwanza wa kisiasa Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa nia njema ya Hayati Rais Benjamin William Mkapa ilichangia sana kupatikana kwa Muafaka wa kwanza wa kisiasa…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendeleza ushirikiano wake wa kihistoria kati yake ya Oman

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendeleza ushirikiano wake wa kihistoria kati yake ya Oman ikiwa…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa pongezi kwa Watendaji wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar pamoja na Wadau wote wa Uchaguzi kwa kufanikisha vyema Uchaguzi Mkuu uliopita wa Oktoba 28, mwaka 2020.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa pongezi kwa Watendaji wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar pamoja na Wadau wote wa Uchaguzi kwa kufanikisha vyema Uchaguzi…

Read More