Japan kuendelea kuiiunga mkono Tanzania katika kuimarisha miradi mbali mbali ya maendeleo,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesisitiza haja ya kuimarisha zaidi uhusiano na ushirikiano uliopo kati ya Tanzania na Japan hasa kwa kutambua hatua…
Read More