Rais wa Zanzibar na MBLM Dk.Hussein Ali Mwinyi(katikati)akifuatanana Waziri wa Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Haroun Ali Suleiman.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi(katikati)akifuatanana Waziri wa Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Haroun Ali Suleiman (wa pili kulia)…

Read More

Dk.Hussein Ali Mwinyi, amesema anatambua mchango wa Watumishi wa Umma katika utekelezaji wa majukumu ya Serikali ya kuwahudumia wananchi.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema anatambua mchango wa Watumishi wa Umma katika utekelezaji wa majukumu ya Serikali ya kuwahudumia wananchi…

Read More

Rais wa Zanzibar na MBLM Dk.Hussein Ali Mwinyi akitoa Hutuba yake kwa Viongozi wakati kilele cha Maadhimisho ya tatu ya Wiki ya Utumishi wa Umma Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akitoa Hutuba yake kwa Viongozi wakati kilele cha Maadhimisho ya tatu ya Wiki ya Utumishi wa Umma Zanzibar hafla iliyofanyika…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi amehudhuria kikao cha Kamati Kuu (CCM) ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi.

KIKAO cha Kamati Kuu (CC) ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimefanyika leo kikiongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais…

Read More

Rais wa Zanzibar na MBLM Dk.Hussein Ali Mwinyi amehudhuria Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM, kilichoendeshwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amehudhuria Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM, kilichoendeshwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…

Read More

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inaunga mkono azma ya Bohari ya Dawa (MSD) ya kutaka kujenga kiwanda cha dawa hapa Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inaunga mkono azma ya Bohari ya Dawa (MSD) ya kutaka kujenga kiwanda…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema wakati umefika kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki kufanyakazi kwa karibu na wananchi, ili waweze kutambua umuhimu…

Read More