Dk.Shein akabidhi vifaa vya mchezo wa riadha.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amekabidhi vifaa kwa ajili ya mashindano ya taifa ya riadha na kuahidi kuwa hatua hiyo ni sehemu ya utekelezaji wa…

Read More

Ulipaji na ukusanyaji kodi ndio utakaowezesha Serikali kukabiliana na changamoto za maendeleo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ametoa wito wa kuongeza ufanisi katika ulipaji na ukusanyaji wa kodi nchini kwa kuwa ndio utakaowezesha Serikali kukabiliana…

Read More

Tafiti vyuo Vikuu zilenge kuleta ufanisi utekelezaji wa mipango ya maendeleo ya Nchi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa utanuzi wa mitaala, ufundishaji na ufanyaji wa tafiti katika vyuo vikuu hauna budi kuelekezwa katika kufatuta…

Read More

Ni wajibu kwa Serikali kuwapelekea wananchi wake huduma bora za kijamii,kiuchumi na maendeleo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amezindua umeme katika kijiji cha Dongongwe,Mkoa wa Kusini Unguja na kusema kuwa Serikali kuwapelekea huduma bora za…

Read More

Zanzibar State House

Read More

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar itaendeleza jitihada zake za kukuza biashara katika sekta binapsi.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar itaendeleza jitihada zake za kuimarisha mazingira ya biashara na kukuza…

Read More

Dk.Shein amelipongeza Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa kuendelea kuiunga mkono Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amelipongeza Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa kuendelea kuiunga mkono Zanzibar katika juhudi zake za kuimarisha sekta…

Read More

Wabunge wa Bunge la Ireland wameahidi nchi yao kuendelea kuiunga mkono Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amefanya mazungumzo na Wabunge wa Bunge la Ireland na kuwaeleza mafanikio yaliyopatikana katika kuimarisha Serikali…

Read More