DK.SHEIN AMEWAKARIBISHA WAWEKEZAJI NA WAFANYABIASHARA WA NIGERIA.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amewakaribisha wawekezaji na wafanyabiashara kutoka Nigeria kuja kuekeza Zanzibar katika sekta yoyote wanayoitaka.
Read More