Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kuwepo kwa wataalamu wa sheria wenye ujuzi ni muhimu katika kuleta mageuzi ya kiuchumi na kijamii nchini.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kuwepo kwa wataalamu wa sheria wenye ujuzi ni muhimu katika kuleta mageuzi ya kiuchumi na kijamii nchini.Dk.…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa pongezi kwa mafanikio makubwa yaliyopatikana katika vikao vya Muungano ikiwa ni pamoja na kutatuliwa mambo kadhaa.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa pongezi kwa mafanikio makubwa yaliyopatikana katika vikao vya Muungano ikiwa ni pamoja na kutatuliwa mambo…

Soma Zaidi

Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amejumuika pamoja na wanafamilia, wananchi pamoja na viongozi mbali mbali katika sala na dua ya kumuombea marehemu Mzee Machano Mwadini Omar,Sheha wa Shehia ya Kwahani.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amejumuika pamoja na wanafamilia, wananchi pamoja na viongozi mbali mbali katika sala na dua ya kumuombea marehemu…

Soma Zaidi

Dk.Mwinyi amesema ufunguzi wa madarasa katika skuli ya msingi Sebleni,ni kielelezo cha dhamira ya Serikali katika kukabiliana na changamoto ya miundombinu inayozikabili skuli mbali mbali nchini.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema ufunguzi wa madarasa katika Skuli ya msingi Sebleni,ni kielelezo cha dhamira ya Serikali katika kukabiliana…

Soma Zaidi