Dk. Hussein Ali Mwinyi,amewataka Wakandarasi wa Mradi wa Maji wa Exim Bank kukamilika kwa wakati kama ulivyopangwa

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi,amewataka Wakandarasi wa Mradi wa Maji wa Exim Bank kuelewa kuwa mradi huo unapaswa kukamilika kwa wakati kama ulivyopangwa.

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuchangia shilingi Milioni hamsini (50,000,000), kusaidia ujenzi wa Msikiti wa Jumuiya ya Fissabilillah Tabligh Markaz

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuchangia shilingi Milioni hamsini (50,000,000), kusaidia ujenzi wa Msikiti wa Jumuiya ya Fissabilillah…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi, amezitaka Halmashauri za Wilaya na Mabaraza ya Miji kutumia vyema fedha wanazokusanya kwa miradi ya Maendeleo

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, amezitaka Halmashauri za Wilaya na Mabaraza ya Miji kutumia vyema fedha wanazokusanya kwa miradi ya Maendeleo, badala…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi amemuhakikishia Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo kuwa ataendelea kushirikiana nae katika kuhakikisha Ilani ya Uchaguzi ya CCM inatekelezwa ipasavyo

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amemuhakikishia Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo kuwa ataendelea kushirikiana nae katika kuhakikisha…

Read More