Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akitoa hutuba yake  wakati alipokuwa akiwapongeza Wanafunzi  waliofaulu Mitihani ya Taifa ya kidato cha Nne na Sita pamoja kuwaalika chakula cha mchana katika hafla iliyofanyika le

DK.SHEIN AMEWAPONGEZA WANAFUNZI WALIOFAULU MITIHANI YA TAIFA.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ametangaza kuongeza nafasi 60 badala ya 30 alizozitoa mwaka jana za udhamini wa masomo kwa wanafunzi bora wa Kidato…

Read More

Dk.Shein amezungumza na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Cuba.

JAMHURI ya Watu wa Cuba imepongezwa kwa kuendelea kuiunga mkono Zanzibar katika kuimarisha sekta ya afya na kuelezwa haja ya kutoa nafasi za masomo ya Udaktari Bingwa kwa Madaktari wa Zanzibar.

Read More
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akitoa hutuba yake katika   ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania-UTPC uliofanyika leo katika ukumbi wa Idris AbdulWakil,Vuga M

MKUTANO MKUU WA WANACHAMA WA MUUNGANO WA KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI TANZANIA -UTPC.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amewataka waandishi wa habari nchini, kuondokana na utamaduni wa kufanya kazi kwa mazoweya, kwani sio sifa ya uandishi…

Read More

DK.SHEIN AMEKUTANA NA UONGOZI WA WIZARA YA NCHI, OFISI YA MAKAMO WA PILI WA RAIS.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amesisitiza dhamira ya Serikali katika kulipa kipaumbele suala la kufanya utafiti, kuwa inalenga kuzitafutia majibu…

Read More
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Rais wa Chama Cha Madaktari Tanzania Dr.Elisha Osati  wakati wa mapokezi alipowasili katika ufunguzi wa Kongamano la 10 na Mkutano Mkuu wa Chama cha Wapatholojia (A

KONGAMANO LA 10 LA KISAYANSI NA MKUTANO MKUU WA WAPATHOLOJIA.

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imeamua kuwekeza kwa nguvu zake zote katika kuiendeleza fani ya patholojia kwa ajili ya maendeleo ya afya hapa nchini hasa ikitambua kwamba afya ndio mtaji wa…

Read More
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa,Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ katika mkutano wa utekelezaji  wa  mpango kazi wa Mwaka wa Fedha kwa

UONGOZI WA WIZARA YA NCHI OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA,SERIKALI ZA MITAA NA IDARA MAALUM ZA SMZ.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameutaka uongozi wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ kuongoza kwa kufuata sheria,…

Read More
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Ujenzi,Mawasiliano na Usafirishaji katika mkutano wa utekelezaji wa  mpango kazi wa Mwaka wa Fedha kwa kipindi cha Julai  2018-Juni 2019 na mpan

DK.SHEIN AMEKUTANA NA UONGOZI WA WIZARA YA UJENZI,MAWASILIANO NA USAFIRISHAJI

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuna umuhimu kwa Wizara na taasisi za Serikali kushirikiana ili kufanikisha utekelezaji wa miradi mbali mbali…

Read More