Dk.Shein afutarisha Mkoa wa Kaskazini Unguja

Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja wameeleza kuwa amani, utulivu na mshikamano ndio misingi pekee ya kuleta maendeleo endelevu hapa Zanzibar.Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Meja Mstafu Juma…

Read More

Amani,utulivu na mshikamano ndio misingi pekee ya kuleta maendeleo endelevu hapa Zanzibar.

Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja wameeleza kuwa amani, utulivu na mshikamano ndio misingi pekee ya kuleta maendeleo endelevu hapa Zanzibar.Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Meja Mstafu Juma…

Read More

Matarajio ya Zanzibar ni kuona ushirikiano kati yake na nchi hiyo Japani unaimarika zaidi .

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein leo amekutaka na Balozi mpya wa Japan nchini Mheshimiwa Masaharu Yoshinda na kumueleza kuwa matarajio ya Zanzibar ni…

Read More

Dk.Shein asisitiza dhamira ya Zanzibar kutekeleza makubaliano ya ushirikiano na Muungano wa Comoro

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesisitiza dhamira ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ya kutekeleza makubaliano yaliyofikiwa kati yake na Serikali…

Read More

Wananchi wa Mkanyageni wamepongeza juhudi kubwa zilizochukuliwa na Dk. Shein

WANANCHI wa Mkanyageni, Mkoa wa Kusini Pemba wamepongeza juhudi kubwa zilizochukuliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein za kuhakikisha amani,…

Read More

Dk.Shein aliungana pamoja na wananchi wa Mkoa wa Kusini Pemba katika futari maalum

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein aliungana pamoja na wananchi wa Mkoa wa Kusini Pemba katika futari maalum aliyowaandalia, ikiwa ni miongoni mwa…

Read More

Jiepusha kufanya vitendo vya uvunjifu wa amani hakuna aliye juu ya sheria

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amewakumbusha wananchi kujiepusha kufanya vitendo vya uvunjifu wa amani na kusisitiza kuwa atakayefanya hivyo atakumbana…

Read More

Kenya na Tanzania ni nchi zenye uhusiano wa muda mrefu.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa Kenya na Tanzania ni nchi zenye uhusiano wa muda mrefu hivyo kuna kila sababu za kuendelea kuimarisha…

Read More