Dk.Shein amewataka waumini wa Dini ya Kiislam kuzidisha ibada na upendo katika mwezi wa Ramadhani
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein amefutari pamoja na wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja na kuwataka waumini wa dini ya Kiislamu kuzidisha ibada…
Read More