News and Events

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni  wake Balozi wa Morocco Nchini Tanzania Mhe Abdelilah Benryane alipofika Ikulu Mjini Zanzibar.

DK. MWINYI AMEZUNGUMZA NA BALOZI WA UFALME WA MOROCCO KATIKA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameeleza azma ya Zanzibar kukuza na kuimarisha uhusiano kati yake na Morocco hasa katika sekta ya utalii. Dk. Hussein…

Read More
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwapungia mkono Wafanyabiashara  Ndogo Ndogo  katika Soko la Kijangwani Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi alipofanya ziara ya Kikazi kujuwa changamoto mbali mbali kwa Wafa

DK. MWINYI AMEZUNGUMZA NA WAFANYABIASHARA WA KIJANGWANI.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ameutaka Uongozi wa Serikali ya Mkoa wa Mjini Magharibi kushirikiana na Uongozi wa Jiji la Zanzibar pamoja na wafanyabiashara,…

Read More

UTENGUZI

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Afya katika Wizara ya Afya Dk. Jamala Adam Talib na Mkurugenzi Mtendaji wa…

Read More
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi  akimpa pole mmoja wa wagonjwa waliolazwa katika Wodi ya Wagonjwa wa ajali katika Hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar.

DK. MWINYI AMEFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KATIKA HOSPITALI YA MNAZI MMOJA.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa muda wa miezi mitatu kwa uongozi wa Wizara ya Afya kurekebisha kasoro za kiutendaji zinazosababisha kutokuwepo…

Read More

DK. MWINYI AMEUPONGEZA UTAYARI WA RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

RAIS wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali hassan Mwinyi ameupongeza utayari wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli wa kuahidi kuwa…

Read More

Dk.Magufuli amemuahidi Rais wa Zanzibar Dk.Mwiyi kufanya kazi kwa ushirikiano mkubwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli amemuahidi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwiyi kwamba miaka mitano ijayo Serikali ya Jamhuri…

Read More

DK. MWINYI AMEWASILI DODOMA KUHUDHURIA UZINDUZI WA BUNGE LA TANZANIA.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewasili Jijini Dodoma leo kwa ajili ya kuhudhuria uzinduzi wa Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Katika…

Read More